Rais wa Kenya, William Ruto amewaonya wapangaji wa Maandamano, wafadhili, wanaochochea ghasia na machafuko nchini humo na kusema maandamano yaliyofanyika ni kama uhaini hivyo serikali haitosita kuwachukulia hatua watakaobainika.
				Friday 31 October 2025			
						
		⁞
 Sources
 Sources 
 
