Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma, Bw.Fred Milanzi, amemsimamisha kazi Muuguzi wa Zahanati ya Basanza Bw.Alex Axsan Lyimo ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za kutotekeleza majukumu yake ipasavyo, kufuatia video iliyomuonyesha mama mjamzito akijifungua kwenye zahanati hiyo bila msaada wa Muuguzi.
Saturday 1 November 2025
⁞
