Saturday 1 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 1 years ago

SAKATA LA MJAMZITO, ALEX ASIMAMISHWA KAZI KIGOMA

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma, Bw.Fred Milanzi, amemsimamisha kazi Muuguzi wa Zahanati ya Basanza Bw.Alex Axsan Lyimo ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za kutotekeleza majukumu yake ipasavyo, kufuatia video iliyomuonyesha mama mjamzito akijifungua kwenye zahanati hiyo bila msaada wa Muuguzi.


Latest News
Hashtags:   

SAKATA

 | 

MJAMZITO

 | 

ASIMAMISHWA

 | 

KIGOMA

 | 

Sources