Sunday 2 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 10 month ago

UWEZO MITAMBO YA KUFUA UMEME WAFIKIA ASILIMIA 8.75.

Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema kuwa uwezo wa mitambo ya kufua umeme iliyounganishwa katika mfumo wa Gridi ya Taifa hadi kufikia mwezi Desemba, mwakajana ni jumla ya Megawati 3,091.71 ikilinganishwa na Megawati 2,842.96 zilizokuwepo mwezi septemba, 2024 ikiwa ni ongezeko la Megawati 248.75 sawa na asilimia 8.75.


Latest News
Hashtags:   

UWEZO

 | 

MITAMBO

 | 

KUFUA

 | 

UMEME

 | 

WAFIKIA

 | 

ASILIMIA

 | 

Sources