Sunday 2 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 10 month ago

TANZANIA IPO TAYARI KWA CHAN 2025 - KABUDI

MICHEZO: Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe Prof. Palamagamba John Kabudi, amesema Tanzania ipo tayari kwa ajili ya uwenyeji wa mashindano ya CHAN yanayotarajiwa kuanza tarehe 1 hadi 28 Februari 2025 kwa kuwa maandalizi yake yamefikia 99% hadi sasa.


Latest News
Hashtags:   

TANZANIA

 | 

TAYARI

 | 

KABUDI

 | 

Sources