Makamu wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mzee John Malecela, amewataka wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuendelea kuwa na moyo wa kizalendo na kujituma kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Sunday 2 November 2025
itv - 11 month ago
MALECELA APONGEZA UIMARA WA CCM NA SERIKALI YAKE KUTUMIKIA WATANZANIA
⁞
