Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Uvuvi wa Bahari Kuu (DSFA) Bw. Saleh Yahya, amesema Asasi mbalimbali za kiraia na Taasisi zisizo za Serikali zimekuwa na mchango mkubwa kwenye ukuzaji wa Tasnia ya Uvuvi mdogo nchini.
Sunday 2 November 2025
⁞
