Sunday 2 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 12 month ago

SERIKALI YAJENGA MAZINGIRA RAFIKI SEKTA YA UTALII

Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani, Hassani Mwamweta amesema serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, imejidhatiti katika kujenga mazingira rafiki kwenye Sekta ya Utalii ili kukuza utalii wa Tanzania, kuvutia uwekezaji na kukuza Soko la Utalii. 


Latest News
Hashtags:   

SERIKALI

 | 

YAJENGA

 | 

MAZINGIRA

 | 

RAFIKI

 | 

SEKTA

 | 

UTALII

 | 

Sources