Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani, Hassani Mwamweta amesema serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, imejidhatiti katika kujenga mazingira rafiki kwenye Sekta ya Utalii ili kukuza utalii wa Tanzania, kuvutia uwekezaji na kukuza Soko la Utalii.
Sunday 2 November 2025
⁞
