Sunday 2 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 12 month ago

NAIBU WAZIRI SANGU: e-GA NI TAASISI NYETI KWA USALAMA WA NCHI

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.Deus Sangu amesema  Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) ni Taasisi nyeti kwa ajili ya  usalama  wa nchi kwani kwani hakuna Mfumo wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) uliosanifiwa unaoweza kutumika nchini katika Wizara, Taasisi  au  Idara ya Serikali bila kuridhiwa na e-GA


Latest News
Hashtags:   

NAIBU

 | 

WAZIRI

 | 

SANGU

 | 

TAASISI

 | 

NYETI

 | 

USALAMA

 | 

Sources