Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.Deus Sangu amesema Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) ni Taasisi nyeti kwa ajili ya usalama wa nchi kwani kwani hakuna Mfumo wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) uliosanifiwa unaoweza kutumika nchini katika Wizara, Taasisi au Idara ya Serikali bila kuridhiwa na e-GA
Sunday 2 November 2025
⁞
