#HABARI: Dereva wa basi Shedrack Swai (37) aliyesababisha ajali Oktoba 22.2024 eneo la Ukiligulu, wilaya ya Misungwi, mkoani Mwanza amepandishwa kizimbani jana Oktoba 29,2025 katika Mahakama ya Wilaya ya Misungwi na kusomewa shtaka la kuendesha gari kwa uzembe katika Barabara ya Umma lenye makosa 64 yakiwemo ya kusababisha vifo, majeruhi, uharibifu wa miundombinu na mali.
Sunday 2 November 2025
⁞
