Sunday 2 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 12 month ago

DEREVA AJALI ILIYOUA 9 APANDISHWA KIZIMBANI

#HABARI: Dereva wa basi Shedrack Swai (37) aliyesababisha ajali Oktoba 22.2024 eneo la Ukiligulu, wilaya ya Misungwi, mkoani Mwanza amepandishwa kizimbani jana Oktoba 29,2025 katika Mahakama ya Wilaya ya Misungwi na kusomewa shtaka la kuendesha gari kwa uzembe katika Barabara ya Umma lenye makosa 64 yakiwemo ya kusababisha vifo, majeruhi, uharibifu wa miundombinu na mali.


Latest News
Hashtags:   

DEREVA

 | 

AJALI

 | 

ILIYOUA

 | 

APANDISHWA

 | 

KIZIMBANI

 | 

Sources