Sunday 2 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 12 month ago

MSITOKE HAPA MPAKA KIVUKO KITOE HUDUMA- BASHUNGWA 

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amempgia simu na kumuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Balozi Eng. Aisha Amour na Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Ufundi na Umeme (TEMESA), Lazaro Kilahala kufika mara moja katika Kisiwa cha Mafia kupiga kambi kusimamia matengenezo ya Kivuko cha MV Kilindoni.


Latest News
Hashtags:   

MSITOKE

 | 

MPAKA

 | 

KIVUKO

 | 

KITOE

 | 

HUDUMA

 | 

BASHUNGWA 

 | 

Sources