Chama cha Wataalam wa Mifugo nchini (TSAP) kupitia kongamano lake la 47 linalofanyika jijini Arusha, kimeainisha mikakati mbalimbali inayolenga kuinua sekta za Mifugo na Uvuvi nchini, ikiwa ni pamoja na kuwasilisha na kujadili tafiti mbalimbali zilizofanywa na wataalam hao kutoka nchi mbalimbali za Afrika Mashariki ikiwemo Kenya na Uganda.
Sunday 2 November 2025
⁞
