Sunday 2 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 12 month ago

TSAP YAJA NA MIKAKATI YA KUINUA SEKTA ZA MIFUGO NA UVUVI

Chama cha Wataalam wa Mifugo nchini (TSAP) kupitia kongamano lake la 47 linalofanyika jijini Arusha, kimeainisha mikakati mbalimbali inayolenga kuinua sekta za Mifugo na Uvuvi nchini, ikiwa ni pamoja na kuwasilisha na kujadili tafiti mbalimbali zilizofanywa na wataalam hao kutoka nchi mbalimbali za Afrika Mashariki ikiwemo Kenya na Uganda.


Latest News
Hashtags:   

MIKAKATI

 | 

KUINUA

 | 

SEKTA

 | 

MIFUGO

 | 

UVUVI

 | 

Sources