Msemaji wa Jeshi la Polisi, DCP David Misime, amesema Jeshi hilo limeshachua hatua dhidi ya Mkuu wa Kituo cha Polisi Wilaya ya Makete, baada ya kulalamikiwa na Levis Mahenge, kuwa alimkamata kisha kumpeleka Kituo cha Polisi na kumpiga hadi kumvunja mkono.
Sunday 2 November 2025
⁞
