Baraza la Maadili limeanza kusikiliza malalamiko dhidi ya tuhuma zinazomkabili Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Arusha (TAA), Prof. Emilian Sedoyeka, anayetuhumiwa kwa matumizi mabaya ya ofisi hiyo, kinyume na kanuni na taratibu za maadili ya uongozi wa umma.
Sunday 2 November 2025
⁞
