Katika kupambana na maambukizi ya Marburg, Waziri wa Afya nchini Rwanda Dkt. Sabin Nsanzimana amesema nchi hiyo imepokea chanjo 1000 kutoka Kampuni ya Sabin Vaccine kwa ajili ya kukabiliana na maambukizi hayo, ambapo watu 600 kati ya 700 wamepatiwa chanjo nchini humo.
Sunday 2 November 2025
⁞
