Sunday 2 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 1 years ago

RWANDA YAPOKEA CHANJO 1000 KUPAMBANA NA MARBURG

Katika kupambana na maambukizi ya Marburg, Waziri wa Afya nchini Rwanda Dkt. Sabin Nsanzimana amesema nchi hiyo imepokea chanjo 1000 kutoka Kampuni ya Sabin Vaccine kwa ajili ya kukabiliana na maambukizi hayo, ambapo watu 600 kati ya 700 wamepatiwa chanjo nchini humo.


Latest News
Hashtags:   

RWANDA

 | 

YAPOKEA

 | 

CHANJO

 | 

KUPAMBANA

 | 

MARBURG

 | 

Sources