Wafalme wa soka la Afrika Al Ahly, wamefurushwa kwa mikwaju ya penalti 4-3 na Zamelek, katika mchezo wa Fainali ya CAF Super Cup, uliopigwa usiku wa Septemba 27, 2024 kwenye Uwanja wa Kingdom, uliopo katika mji mkuu wa Saudi Arabia, Riyadh.
Sunday 2 November 2025
⁞
