Sunday 2 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 1 years ago

ACHAPWA VIBOKO 12 KWA KUMLAWITI MWANAFUNZI MWENZAKE

Hija Hamis Msumi (16) Mwanafunzi ya Kidato cha Tatu, ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Nyanjati wilaya ya Kibiti, mkoa wa kipolisi Rufiji, amehukumiwa adhabu ya kuchapwa viboko 12, kwenye makalio mbele ya mahakama kwa kosa la kumbaka na kumlawiti mwanafunzi wa darasa la Nne mwenye umri wa miaka 12.


Latest News
Hashtags:   

ACHAPWA

 | 

VIBOKO

 | 

KUMLAWITI

 | 

MWANAFUNZI

 | 

MWENZAKE

 | 

Sources