Serikali imesaini mkataba wa ujenzi wa barabara ya Iringa - Msembe, inayoelekea kwenye Hifadhi ya Taifa ya Ruaha (km 104) kwa kiwango cha lami, utakaogharimu shilingi Bilioni 142.56 ili kufungua fursa za kiutalii, kiuchumi na kibiashara kwa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.
Sunday 2 November 2025
⁞
