Kamishna wa Utawala na Rasilimali Watu wa Jeshi la Polisi, CP Suzan Kaganda, amesema suala la amani ni jambo ambalo linatakiwa kushirikisha Jamii, ili amani na utulivu wa eneo husika uimarike, kutokana na ushiriki kamili wa wananchi katika ulinzi wa amani bila ya kuwa na Jeshi la Polisi, kwani suala la amani ya eneo husika linatakiwa kuanza na Jamii husika.
Sunday 2 November 2025
⁞
