Sunday 2 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 1 years ago

NYANGUMI JASUSI WA URUSI AFARIKI GHAFLA.

Nyangumi anayetajwa kuwa ni jasusi wa Urusi, aliyejulikana kama Hvaldimir, amekutwa amekufa na mwili wale kukutwa ukielea kwenye Ghuba ya Risavika Kusini mwa Norway, siku ya Jumamosi, na watu wawili ambao ni baba na mwanawe waliokuwa wakivua samaki.


Latest News
Hashtags:   

NYANGUMI

 | 

JASUSI

 | 

URUSI

 | 

AFARIKI

 | 

GHAFLA

 | 

Sources