Nyangumi anayetajwa kuwa ni jasusi wa Urusi, aliyejulikana kama Hvaldimir, amekutwa amekufa na mwili wale kukutwa ukielea kwenye Ghuba ya Risavika Kusini mwa Norway, siku ya Jumamosi, na watu wawili ambao ni baba na mwanawe waliokuwa wakivua samaki.
Sunday 2 November 2025
⁞
