Sunday 2 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 1 years ago

UCHUMI WA BULUU NA MKAKATI KUIMARISHA SEKTA UVUVI

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwaongoza Mawaziri zaidi ya 70 kutoka mataifa wanachama wa Umoja wa Afrika, Karibiani na Pasifiki (OACPS), kujadili masuala mbalimbali ya uchumi wa buluu na kuweka mkakati wa pamoja kuimarisha sekta ya uvuvi.


Latest News
Hashtags:   

UCHUMI

 | 

BULUU

 | 

MKAKATI

 | 

KUIMARISHA

 | 

SEKTA

 | 

UVUVI

 | 

Sources