Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwaongoza Mawaziri zaidi ya 70 kutoka mataifa wanachama wa Umoja wa Afrika, Karibiani na Pasifiki (OACPS), kujadili masuala mbalimbali ya uchumi wa buluu na kuweka mkakati wa pamoja kuimarisha sekta ya uvuvi.
Sunday 2 November 2025
⁞
