Wadau wa Uchaguzi wametakiwa kuwa Mabalozi wazuri na kuwahamasisha wananchi kujitokeza kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura lakini pia kuzingatia sheria za uchaguzi, kanuni za Uboreshaji na maelekezo ya Tume kuhusu zoezi hilo.
Sunday 2 November 2025
⁞
