Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe.Geophrey Pinda, amesema jumla ya Vijiji 63 kati ya Vijiji 73, vilivyokuwa katika mpango kwenye Wilaya ya Chamwino mkoa wa Dodoma, vimefanyiwa mipango ya matumizi bora ya ardhi.
Sunday 2 November 2025
⁞
