Ili kupunguza migogoro kati ya wananchi na watoa huduma ndogo za fedha, wananchi wa Halmashauri ya Mlimba, Wilayani Kilombero, Mkoani Morogoro, wameshauriwa kujielekeza kupata huduma hizo katika Taasisi za fedha ambazo ni rasmi na zilizosajiliwa na kupewa leseni ya kuendesha shughuli hizo.
Sunday 2 November 2025
⁞
