Sunday 2 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 1 years ago

WANANCHI TUMIENI TAASISI RASMI ZA FEDHA

Ili kupunguza migogoro kati ya wananchi na watoa huduma ndogo za fedha, wananchi wa Halmashauri ya Mlimba, Wilayani Kilombero, Mkoani Morogoro, wameshauriwa kujielekeza kupata huduma hizo katika Taasisi za fedha ambazo ni rasmi na zilizosajiliwa na kupewa leseni ya kuendesha shughuli hizo.


Latest News
Hashtags:   

WANANCHI

 | 

TUMIENI

 | 

TAASISI

 | 

RASMI

 | 

FEDHA

 | 

Sources