Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe.Deogratius Ndejembi, amemwelekeza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kumchukulia hatua kali za kinidhamu Afisa Ardhi Mwandamizi Gaudence Mtalo, kwa kusababisha mkanganyiko kwa kukosa uadilifu katika kutekeleza majukumu yake.
Sunday 2 November 2025
⁞
