Rais wa Tanzania, Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan, ameiagiza Wizara ya Kilimo, kuisimamia kwa ukaribu Sekta ya Ushirika, ili uwekezaji unaofanywa na Serikali kwenye sekta ya kilimo, mifugo na uvuvi, uweze kufanywa na Vyama vya Ushirika.
Sunday 2 November 2025
⁞
