Sunday 2 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 1 years ago

SERIKALI IMEOMBWA KUSIMAMIA UTOAJI MIKOPO YA HALMASHAURI.

Serikali kupitia Wizara ya Fedha, imeombwa kusimamia upatikanaji wa fedha na utoaji wa mikopo ya Halmashauri inayotolewa kwa ajili ya wanawake, vijana na watu wa makundi maalumu, ili kuhakikisha inawafikia walengwa kama ilivyokusudiwa.


Latest News
Hashtags:   

SERIKALI

 | 

IMEOMBWA

 | 

KUSIMAMIA

 | 

UTOAJI

 | 

MIKOPO

 | 

HALMASHAURI

 | 

Sources