Serikali kupitia Wizara ya Fedha, imeombwa kusimamia upatikanaji wa fedha na utoaji wa mikopo ya Halmashauri inayotolewa kwa ajili ya wanawake, vijana na watu wa makundi maalumu, ili kuhakikisha inawafikia walengwa kama ilivyokusudiwa.
Sunday 2 November 2025
⁞
