Sunday 2 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 1 years ago

TUTATOA VIBALI VYA AJIRA KWA SEKTA YA AFYA KILA MWAKA SAMIA

Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali itaendelea kutoa vibali vya ajira kwa kila mwaka katika Sekta ya Afya, ili kupunguza changamoto ya uhaba wa watumishi kutokana na maendeleo katika sekta hiyo. 


Latest News
Hashtags:   

TUTATOA

 | 

VIBALI

 | 

AJIRA

 | 

SEKTA

 | 

MWAKA

 | 

SAMIA

 | 

Sources