Sunday 2 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 1 years ago

FANYENI KAZI KWA KUZINGATIA MAADILI BITEKO

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe.Dkt.Doto Biteko, amewataka watumishi Serikalini kufanya kazi kwa kuzingatia maadili na misingi ya utoaji wa huduma, ili kuleta matokeo Chanya na sio kuwakwamisha watu wanohitaji huduma.


Latest News
Hashtags:   

FANYENI

 | 

KUZINGATIA

 | 

MAADILI

 | 

BITEKO

 | 

Sources