Avelina Masini (19) Mkazi wa Kijiji cha Buzegwe kilichopo Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza, amehukumiwa kulipa faini ya shilingi millioni tano au kutumikia kifungo cha miaka miwili gerezani baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la usafirishaji haramu wa binadamu.
Sunday 2 November 2025
⁞
