Sunday 2 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 1 years ago

TANZANIA YAUNGA MKONO AJENDA ZA UN TOURISM

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imeunga mkono ajenda za Shirika la Utalii Duniani (UN Tourism) kuhusu uwekezaji wa kimkakati katika rasilimali watu, kwenye elimu na ujuzi pamoja na ajenda ya usalama wa maeneo ya utalii, lengo likiwa ni kuibadilisha Afrika kwa siku zijazo kupitia ujuzi wa elimu na uwekezaji wa kimkakati.


Latest News
Hashtags:   

TANZANIA

 | 

YAUNGA

 | 

MKONO

 | 

AJENDA

 | 

TOURISM

 | 

Sources