Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imeunga mkono ajenda za Shirika la Utalii Duniani (UN Tourism) kuhusu uwekezaji wa kimkakati katika rasilimali watu, kwenye elimu na ujuzi pamoja na ajenda ya usalama wa maeneo ya utalii, lengo likiwa ni kuibadilisha Afrika kwa siku zijazo kupitia ujuzi wa elimu na uwekezaji wa kimkakati.
Sunday 2 November 2025
⁞
