Kijiji cha Mnanila kilichopo tarafa ya Manyovu wilayani Buhigwe mkoani Kigoma, kimepandishwa hadhi na kuwa mji mdogo ambapo sasa kijiji hicho kimewekewa mpango na kupimwa viwanja kwa lengo la kuharakisha maendeleo.
Sunday 2 November 2025
⁞
