Sunday 2 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 1 years ago

KIJIJI CHA MNANILA BUHIGWE CHAPEWA HADHI YA MJI MDOGO

Kijiji cha Mnanila kilichopo tarafa ya Manyovu wilayani Buhigwe mkoani Kigoma, kimepandishwa hadhi na kuwa mji mdogo ambapo sasa kijiji hicho kimewekewa mpango na kupimwa viwanja kwa lengo la kuharakisha maendeleo. 


Latest News
Hashtags:   

KIJIJI

 | 

MNANILA

 | 

BUHIGWE

 | 

CHAPEWA

 | 

HADHI

 | 

MDOGO

 | 

Sources