Sunday 2 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 1 years ago

WANANCHI WAFURAHISHWA NA MSAADA WA KISHERIA DAR

Wananchi walionufaika na huduma ya msaada wa Kisheria inayotolewa na Serikali kupitia Kampeni ya Mama Samia legal Aid, wamesema wamefurahishwa na huduma hiyo na kuwataka wananchi wengine kuchangamkia fursa hiyo inapofika kwenye maeneo yao, kwani huduma hiyo imewapa mwanga wa namna ya utatuzi wa matatizo yao kisheria bila gharama. 


Latest News
Hashtags:   

WANANCHI

 | 

WAFURAHISHWA

 | 

MSAADA

 | 

KISHERIA

 | 

Sources