Wananchi walionufaika na huduma ya msaada wa Kisheria inayotolewa na Serikali kupitia Kampeni ya Mama Samia legal Aid, wamesema wamefurahishwa na huduma hiyo na kuwataka wananchi wengine kuchangamkia fursa hiyo inapofika kwenye maeneo yao, kwani huduma hiyo imewapa mwanga wa namna ya utatuzi wa matatizo yao kisheria bila gharama.
Sunday 2 November 2025
⁞
