Sunday 2 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 1 years ago

UBORESHAJI WA DAFTARI TABORA KUANZA JULAI 20,2024

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, imetoa wito kwa wananchi na wapiga kura wa mkoa wa Tabora, kujitokeza kwa wingi kujiandikisha na kuboresha taarifa zao kwenye uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura unaotarajiwa kufanyika kwenye mikoa hiyo kuanzia Julai  20 hadi 26, mwaka 2024.


Latest News
Hashtags:   

UBORESHAJI

 | 

DAFTARI

 | 

TABORA

 | 

KUANZA

 | 

JULAI

 | 

Sources