Sunday 2 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 1 years ago

MSAADA WA KISHERIA KUGUSA ENEO LA MIRATHI NA WOSIA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi.Mary Makondo, amesema Wizara hiyo chini ya Kampeni ya Mama Samia Legal Aid, imeendelea kuwapokea Wananchi, kuwafikia kwa karibu na kuwasogezea huduma za msaada wa kisheria katika masuala ya Elimu, utatuzi wa migogoro, mahitaji na taratibu za kisheria ambazo wananchi wanapaswa kuzielewa.


Latest News
Hashtags:   

MSAADA

 | 

KISHERIA

 | 

KUGUSA

 | 

MIRATHI

 | 

WOSIA

 | 

Sources