Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi.Mary Makondo, amesema Wizara hiyo chini ya Kampeni ya Mama Samia Legal Aid, imeendelea kuwapokea Wananchi, kuwafikia kwa karibu na kuwasogezea huduma za msaada wa kisheria katika masuala ya Elimu, utatuzi wa migogoro, mahitaji na taratibu za kisheria ambazo wananchi wanapaswa kuzielewa.
Sunday 2 November 2025
⁞
