Katika kuunga mkono juhudi za Serikali ya Tanzania inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Uongozi wa kituo cha mikutano APC Hotel and Conference Centre wamejidhatiti kuhakikisha wanaweka mazingira wezeshi kwa wadau mbalimbali ili kuendelea kuvutia wawekezaji na watalii wengi nchini katika kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla.
Sunday 2 November 2025
⁞
