Sunday 2 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 1 years ago

UMUHIMU WA KUCHANJA MIFUGO NA UTAMBUZI MAGONJWA

Wataalam wa Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA), wakiongozwa Mtendaji Mkuu wake Dkt.Stella Bitanyi wametoa elimu kuhusiana na huduma mbalimbali zinazotolewa na TVLA katika Maonesho ya 48 ya Biashara Kimataifa ya Dar Es Salaam (Sabasaba), tangu yalipoanza Juni 28, 2024 na kutarajiwa kuhitimishwa Julai 13, 2024.


Latest News
Hashtags:   

UMUHIMU

 | 

KUCHANJA

 | 

MIFUGO

 | 

UTAMBUZI

 | 

MAGONJWA

 | 

Sources