Serikali ya Tanzania imesaini mkataba maalum kwa ajili ya mkutano wa mawaziri wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Afrika, Karibiani na Pasifiki (OACPS), unaotarajia kufanyika jijini Dar es Salaam katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) kuanzia tarehe 9 hadi 13 Septemba 2024.
Sunday 2 November 2025
⁞
