Sunday 2 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 1 years ago

WANANCHI KUNUFAIKA NA FURSA ZA BAHARI YA HINDI

Serikali ya Tanzania imesaini mkataba maalum kwa ajili ya mkutano wa mawaziri wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Afrika, Karibiani na Pasifiki (OACPS), unaotarajia kufanyika jijini Dar es Salaam katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) kuanzia tarehe 9 hadi 13 Septemba 2024.


Latest News
Hashtags:   

WANANCHI

 | 

KUNUFAIKA

 | 

FURSA

 | 

BAHARI

 | 

HINDI

 | 

Sources