Sunday 2 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 1 years ago

SERIKALI ITAENDELEA KUSIMAMIA, KUKUZA UADILIFU WA MAADILI - DKT.BITEKO

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe.Dkt.Doto Biteko, amesema serikali itaendelea kusimamia na kukuza uadilifu wa maadili kama msingi wa maendeleo endelevu kupitia Sera na Sheria bora kwa kushirikisha wadau wa kidini, elimu, na jamii ili kuendeleza utamaduni ambapo maadili yatajumuishwa katika kila sehemu ya maisha ya Watanzania.


Latest News
Hashtags:   

SERIKALI

 | 

ITAENDELEA

 | 

KUSIMAMIA

 | 

KUKUZA

 | 

UADILIFU

 | 

MAADILI

 | 

BITEKO

 | 

Sources