Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watu wawili Kwa tuhuma za mauaji ya Ndembora Exaud Nanyaro aliyefariki dunia wakati akipatiwa matibabu baada ya kujeruhumiwa na watuhumiwa hao Mei 20, 2024 huko katika Kijiji cha Ngurudoto Kata ya Maji ya chai Wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha.
Sunday 2 November 2025
⁞
