Sunday 2 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 1 years ago

WAWILI MBARONI KWA TUHUMA ZA MAUAJI NGURUDOTO

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watu wawili Kwa tuhuma za mauaji ya Ndembora Exaud Nanyaro aliyefariki dunia wakati akipatiwa matibabu baada ya kujeruhumiwa na watuhumiwa hao Mei 20, 2024 huko katika Kijiji cha Ngurudoto Kata ya Maji ya chai Wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha.


Latest News
Hashtags:   

WAWILI

 | 

MBARONI

 | 

TUHUMA

 | 

MAUAJI

 | 

NGURUDOTO

 | 

Sources