Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema maendeleo ya sekta ya uvuvi nchini yanategemea wavuvi wadogo kwa sababu asilimia 95 ya shughuli za uvuvi zinafanywa na wavuvi wadogo.
Sunday 2 November 2025
⁞
