Sunday 2 November 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 1 years ago

CRB YAWAONYA WATAALAMU KUTOTUMIKA NA WAGENI

Msajili wa Bodi ya Usajili wa Makandarasi Tanzania (CRB), Mhandisi Rhoben Nkori, amewaonya wataalamu kutokubali kutumika na kampuni za kigeni katika usajili wa ukandarasi ili kampuni hizo zionekane za kizawa (Local Contractors).


Latest News
Hashtags:   

YAWAONYA

 | 

WATAALAMU

 | 

KUTOTUMIKA

 | 

WAGENI

 | 

Sources