Msajili wa Bodi ya Usajili wa Makandarasi Tanzania (CRB), Mhandisi Rhoben Nkori, amewaonya wataalamu kutokubali kutumika na kampuni za kigeni katika usajili wa ukandarasi ili kampuni hizo zionekane za kizawa (Local Contractors).
Sunday 2 November 2025
⁞
