Kamati ya Pamoja ya Wataalamu ya Uimarishaji Mpaka wa Tanzania na Burundi (JTC) imefika Mto Malagarasi ambao ni sehemu ya mpaka wa kimataifa kati ya nchi hizo mbili na kujionea hali halisi ya eneo hilo, ikiwa ni utekelezaji wa makubaliano ya umoja wa Afrika kuwa ifikapo mwaka 2027 mipaka baina ya nchi za Afrika iwe imeimarishwa.
Saturday 18 January 2025
⁞
Tatizo la bidhaa zilizo chini ya kiwango sokoni. Je, Waadhibiwe wazalishaji , wasambazaji na wauzaji?
- itvAgizo la Serikali la kuwataka Watendaji wa Sekta ya Kilimo kutakiwa kuhamia walipo wakulima kutatua kero zao. Je, litekelezwe kivitendo?
- itvWanaotoa mikopo kausha damu kusababisha kifo wakidai marejesho. Je, wanadhibitiwa kisheria kuepuka maafa zaidi?
- itvUkaguzi wa kushtukiza wa kikosi cha usalama barabarani Kilimanjaro kubaini madereva wa mabasi ya abiria walevi uliofanyika kituo kikuu cha mabasi Je, uwe endelevu nchi nzima?
- itv Sources
⁞