Saturday 18 January 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 2 month ago

WATAALAM UIMARISHAJI MPAKA TANZANIA NA BURUNDI WAFIKA MTO MALAGARASI

Kamati ya Pamoja ya Wataalamu ya Uimarishaji Mpaka wa Tanzania na Burundi (JTC) imefika Mto Malagarasi ambao ni sehemu ya mpaka wa kimataifa kati ya nchi hizo mbili na kujionea hali halisi ya eneo hilo, ikiwa ni utekelezaji wa makubaliano ya umoja wa Afrika kuwa ifikapo mwaka 2027 mipaka baina ya nchi za Afrika iwe imeimarishwa.


Latest News
Hashtags:   

WATAALAM

 | 

UIMARISHAJI

 | 

MPAKA

 | 

TANZANIA

 | 

BURUNDI

 | 

WAFIKA

 | 

MALAGARASI

 | 

Sources