#HABARI: Mama mjamzito mkazi wa Kijiji cha Kidubwa wilayani Mkuranga, Chuki Hassan, amefariki dunia baada ya lori la mchanga kumkanyaga akiwa kwenye usafiri wa bodaboda waliopanda mishkaki , wakati akikimbizwa hospitali ya wilaya ya Mkuranga kujifungua lakini mtoto wake yuko hai baada ya tumbo kupasuka na mtoto kuokotwa pembezoni mwa barabara akiwa hai.
Saturday 25 January 2025
⁞
Wanaochana orodha za majina kwenye vituo vya Kupiga kura. Je, waadhibiwe kama wachochezi na wahujumu?
- itvTatizo la bidhaa zilizo chini ya kiwango sokoni. Je, Waadhibiwe wazalishaji , wasambazaji na wauzaji?
- itvAgizo la Serikali la kuwataka Watendaji wa Sekta ya Kilimo kutakiwa kuhamia walipo wakulima kutatua kero zao. Je, litekelezwe kivitendo?
- itvWanaotoa mikopo kausha damu kusababisha kifo wakidai marejesho. Je, wanadhibitiwa kisheria kuepuka maafa zaidi?
- itvUkaguzi wa kushtukiza wa kikosi cha usalama barabarani Kilimanjaro kubaini madereva wa mabasi ya abiria walevi uliofanyika kituo kikuu cha mabasi Je, uwe endelevu nchi nzima?
- itv Sources
⁞