Saturday 18 January 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 3 month ago

UGANDA: LORI LA MAFUTA LALIPUKA, WATU 11 WAFARIKI

Watu Zaidi ya 11 wamefariki dunia, baada a lori la mafuta, kupinduka na kulipuka karibu na mji mkuu wa Uganda, Kampala, baada ya lori hilo kupoteza muelekeo kutokana na hitilafu ya breki.


Latest News
Hashtags:   

UGANDA

 | 

MAFUTA

 | 

LALIPUKA

 | 

WAFARIKI

 | 

Sources