Saturday 25 January 2025
Home      All news      Contact us      RSS      English
itv - 4 month ago

BASHUNGWA AKAGUA UJENZI HOSPITALI YA WILAYA KIBAHA, BIL 3.5 ZATUMIKA

Waziri wa Ujenzi, Mhe.Innocent Bashungwa, amekagua ujenzi wa Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha na kuridhishwa na matumizi ya fedha kwa awamu yaliyotolewa na Serikali ambapo kiasi cha shilingi Bilioni 3.5, kimetumika katika ujenzi wa majengo mbalimbali katika Hospitali hiyo.


Latest News
Hashtags:   

BASHUNGWA

 | 

AKAGUA

 | 

UJENZI

 | 

HOSPITALI

 | 

WILAYA

 | 

KIBAHA

 | 

ZATUMIKA

 | 

Sources